#TAFAKARI YA LEO; KIKWAZO NI MATUMIZI MABAYA YA RASILIMALI…

By | May 4, 2021
Kutokufanikiwa kwako hakutokani na kukosa rasilimali, bali kunatokana na matumizi mabaya ya rasilimali ambazo tayari unazo. Mfano rasilimali kubwa kabisa ni muda na nguvu zako. Kila siku una masaa yale yale 24, kama hufanikiwi siyo kwa sababu umepunjwa muda, ila kwa sababu unautumia vibaya, kwa mambo yasiyo na tija. Kadhalika

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz