2325; Siyo thamani, ni uhaba…

By | May 13, 2021
2325; Siyo thamani, ni uhaba… Siyo kila kitu ambacho bei yake inapanda kwa kasi kina thamani ndani yake. Kuna ambavyo vinapanda bei kwa sababu ya uhaba. Tunaijua kanuni kuu ya uchumi ambapo nguvu ya soko huamuliwa na vitu viwili; uhitaji (demand) na upatikanaji (supply). Kitu kikiwa na uhitaji mkubwa, bei

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz