#TAFAKARI YA LEO; VIASHIRIA VIKO WAZI…

By | May 15, 2021
Huwa tunawalalamikia watu kwamba wamebadilika, wakati tunaanza nao mahusiano au ushirikiano walikuwa namna fulani ila baadaye tunaona wamebadilika na kuwa kikwazo. Ukweli ni kwamba watu siyo wamebadilika, bali wameonesha uhalisia wao, wamekuwa hawawezi tena kuendelea kuficha uhalisia wao. Lakini tangu awali, kuna viashiria ambavyo watu walikuwa wanatuonesha ambapo kama tungevizingatia,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz