#TAFAKARI YA LEO; MATANGAZO SIYO MASOKO…

By | May 16, 2021
Watu wengi hudhani kutangaza biashara ndiyo kufanya masoko. Matangazo ni sehemu ya masoko ila siyo sehemu pekee. Masoko ni mfumo wa kuifanya biashara ijulikane na wateja, washawishike kununua na waendelee kuiamini biashara hata baada ya kununua. Masoko yanahusisha kila eneo la biashara kuanzia kwenye kuandaa bidhaa au huduma, kutengeneza hadithi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz