#TAFAKARI YA LEO; MAUMIVU NA MATESO…

By | May 17, 2021
Maumivu ni sehemu ya kawaida kwenye maisha yetu hapa duniani. Mambo huwa hayaendi kama tunavyotaka sisi na hilo huleta maumivu. Lakini mateso kwenye maisha ni kitu ambacho mtu unakichagua mwenyewe. Unachagua mateso pale unapokataa kukubaliana na ilichotokea na ambacho kipo nje ya uwezo wako au unapolazimisha kitu kiende unavyotaka wewe.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz