#TAFAKARI YA LEO; USIYAPOTEZE MAISHA KWA YASIYO NA TIJA…

By | June 4, 2021
Maisha tayari ni mafupi, mambo ya kufanya ni mengi na muda ulionao ni mchache. Usikubali kuyapoteza maisha yako kwa kuhangaika na mambo yasiyo na tija kwako kama kubishana. Usihangaike na kila anayekupinga au kuamini tofauti na wewe. Hata ukihangaika kuwabadili, bado hawatabadilika. Lakini kama jambo ni muhimu kweli, kama inabidi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz