#TAFAKARI YA LEO; JINSI UNAVYOYAHARIBU MAISHA YAKO…

By | June 16, 2021
Unachagua mwenyewe kuyaharibu maisha yako kwa namna unavyochagua kuyaishi. Kila unachofanya kwenye eneo lolote la maisha yako, kinaathiri kila eneo la maisha yako. Ukifanya kazi yako hovyo, maisha yako yanakuwa hovyo. Ukiwa na mahusiano yasiyo mazuri, maisha yako yanaathirika pia. Unapaswa kujiwekea viwango vya juu kabisa kwenye kila unachofanya na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz