#TAFAKARI YA LEO; UKIWA NACHO UTAJUA…

By | June 19, 2021
Ukiwa na furaha utajua, huhitaji kujiuliza mara mbilimbili kama una furaha au la. Ukifanikiwa utajua, huhitaji kujihoji kama umefanikiwa. Mambo yote muhimu kwenye maisha, unayajua wazi kama unayo au la na kama bado unajiuliza, basi jibu ni huna. Tafakari ni maswali gani umekuwa unajiuliza mara kwa mara, jua nini unakosa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz