#TAFAKARI YA LEO; UNAHAKIKISHAJE UNAUPATA UKWELI…

By | June 24, 2021
Ukweli mara nyingi huwa unaumiza na wengi wanaokujali hawapo tayari kukuumiza, hivyo wanaweza kuuona ukweli ila wasikuambie. Watu wakishagundua hupendi ukweli unaokuumiza, wanakulisha uongo, ili tu ujisikie vizuri. Lakini uongo huo haukusaidii zaidi ya kukupoteza. Unachohitaji sana ni kuujua ukweli, hata kama unakuumiza, maana huo ndiyo unaokuweka huru. Tafuta watu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz