2385; Kula na Kumeng’enya…

By | July 12, 2021
2385; Kula na Kumeng’enya… Unapokula chakula, hakiingii moja kwa moja kwenye mwili wako kama ulivyokila. Badala yake kinameng’enywa kwanza, kinavunjwa kwenye vipande vidogo vidogo na kisha kufyonzwa kwenye mwili. Hivyo pia ndivyo ilivyo kwenye kusoma. Kusoma ni kama kula, unachosoma siyo kinachoingia kwenye akili yako, bali kile unachochakata. Hivyo usifurahie

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz