2390; Kipi Kibaya Zaidi Kinaweza Kutokea?

By | July 17, 2021
2390; Kipi Kibaya Zaidi Kinaweza Kutokea? Unapoweka mipango yako, huwa unaangalia mambo yakienda vizuri tu. Kama ni biashara, unangalia upande wa faida tu. Kama ni tabia unajijengea, unaangalia manufaa yake tu. Tunapenda sana mambo yaende vizuri, lakini hilo liko nje ya uwezo wetu. Kitu pekee tunachoweza kudhibiti ni juhudi unazoweka

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz