#TAFAKARI YA LEO; NYENZO…

By | August 1, 2021
Kwa juhudi zako pekee hutaweza kufanya makubwa. Lakini kwa kutumia nyenzo mbalimbali, juhudi zako ndogo zinakuzwa na kuzalisha matokeo makubwa. Tumia nyenzo kwenye kila eneo la maisha yako unalotaka kufanya makubwa. Mfano ukifanya kazi mwenyewe kwa masaa 10, unakuwa na hayo tu kwa siku. Ukiwa na watu 5 wanaokufanyis kazi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz