#TAFAKARI YA LEO; RASILIMALI TAYARI UNAZO…

By | August 5, 2021
Hakuna ambaye hana rasilimali muhimu anazohitaji ili kufanikiwa. Kila siku tunakutana na rasilimali ambazo tukizitumia vizuri tutapata matokeo bora sana. Kila magumu, changamoto na majanga unayokutana nayo ni rasilimali. Kila unayekutana naye ni rasilimali. Na kila unachojifunza ni rasilimali. Usijiambie huna rasilimali, bali jiulize umezitumiaje mpaka sasa hizo ambazo tayari

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz