#TAFAKARI YA LEO; WABOBEZI WA KUANZA…

By | August 6, 2021
Watu wengi kwenye maisha huwa ni waanzaji wazuri wa mambo, ila huwa hawaendi mbali. Huwa hawana ung’ang’anizi kwenye kile wanachoanza mpaka wafike mwisho wake na kuona matokeo yake. Badala yake huwa wanakimbilia kuacha pale wanapokutana na ugumu au changamoto. Kama unayataka mafanikio makubwa, ondoka mara moja kwenye kundi hilo. Usiwe

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz