#TAFAKARI YA LEO; KUJIDANGANYA NI RAHISI…

By | August 19, 2021
Safari ya mafanikio ni ngumu, lakini kujidanganya ni rahisi. Kwa kuwa wengi wanapenda urahisi, hivyo hukimbilia kujidanganya. Kwenye safari yako ya mafanikio, ukweli ni kile unachotaka na uongo ni chochote unachojiambia ambacho ni tofauti na unachotaka. Je wewe unachagua nini, kuwa upande wa ukweli kwa maana ya kupambania unachotaka? Au

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz