2429; Wa mwisho kwako, wa kwanza kwake…

By | August 25, 2021
2429; Wa mwisho kwako, wa kwanza kwake… Kitu kimoja kikubwa ambacho najifunza kwenye taaluma ya udaktari ni mitazamo tofauti ambayo daktari na mgonjwa wanakuwa nayo. Kama daktari unaweza kuwa kwenye zamu ya kuona wagonjwa na umekaribia mwisho kabisa wa zamu yako, umechoka na anakuja mgonjwa wa mwisho. Wewe daktari unaweza

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz