#TAFAKARI YA LEO; USIPOTEZE KINACHOKUNUFAISHA…

By | August 28, 2021
Sisi binadamu huwa tunazoea vitu haraka, kisha tunavichoka na kutaka kuvibadilisha. Tunapenda vitu vinavyotusisimua na kuibua hisia zetu. Ni katika harakati hizo ndiyo tunajikuta tumeharibu au kupoteza kile kilichokuwa na manufaa kwetu huko nyuma. Unapaswa kuwa makini sana kwenye hili, kwa kuhakikisha unalinda kila ambacho kina manufaa kwako ili usikiharibu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz