2442; Barabara lazima zifagiliwe.

By | September 7, 2021
2442; Barabara lazima zifagiliwe. Pata picha kama hakungekuwa na watu wanaofanya usafi kwenye barabara tunazotumia. Au hakuna watu wanaoondoa takataka kwenye mazingira yetu. Au hakuna watu wanaolima chakula tunachohitaji sana. Kwa hakika maisha yangekuwa magumu, bila ya kujali mtu una fedha kiasi gani. Ninachotaka kusema hapa ni hiki, kila kazi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz