2446; Nia njema huishia pabaya…

By | September 11, 2021
2446; Nia njema huishia pabaya… Kila mtu anayefanya jambo lolote lile, huwa anakuwa na sababu za msingi kabisa za kulifanya na huwa analifanya kwa nia njema kabisa. Hata kama kwa nje jambo hilo linaonekana ni la hovyo na la kijinga, sivyo anavyoona mfanyaji. Yeye anakuwa amefikiri na kufanya maamuzi ambayo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz