2453; Ukiwa huna cha kupoteza.

By | September 18, 2021
2453; Ukiwa huna cha kupoteza. Umewahi kugundua kwamba ukiwa na fedha huwa hazikosi matumizi? Na ukiwa huna fedha bado maisha hayasimami? Yaani ukiwa na fedha, utashangaa zinatumika na bado yale mahitaji muhimu uliyonayo yanakuwa hayajaisha. Kadhalika ukiwa huna fedha, hata kama una mahitaji mengi kiasi gani ambayo hujaweza kuyatimiza, bado

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz