MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
2453; Ukiwa huna cha kupoteza.
2453; Ukiwa huna cha kupoteza. Umewahi kugundua kwamba ukiwa na fedha huwa hazikosi matumizi? Na ukiwa huna fedha bado maisha hayasimami? Yaani ukiwa na fedha, utashangaa zinatumika na bado yale mahitaji muhimu uliyonayo yanakuwa hayajaisha. Kadhalika ukiwa huna fedha, hata kama una mahitaji mengi kiasi gani ambayo hujaweza kuyatimiza, bado