2455; Siyo lazima ujibu.

By | September 20, 2021
2455; Siyo lazima ujibu. Matatizo na changamoto nyingi tunazopitia kwenye maisha, chimbuko lake ni midomo yetu, tunaongea wana na kuongea hovyo. Mtu anaweza kufanya jambo, likakukera au kukuudhi, maneno yanaanza kukutoka ambayo yanazidi kuharibu kuliko kujenga. Mtu anaweza kukujibu vibaya na wewe ukasukumwa kumjibu vibaya zaidi. Maneno ni upepo mtupu,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz