MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
2469; Kutokumuumiza Yeyote.
2469; Kutokumuumiza Yeyote. Kuna vitu ambavyo huwa tunahangaika navyo kwenye maisha, ambavyo tunajisumbua tu lakini haviwezi kuwa vile tunavyotaka. Moja ya vitu hivyo ni kutaka kufanya maamuzi ambayo hayatamuumiza mtu yeyote yule. Hizo ni ndoto ambazo ukiendelea kuziota hutakuja kufanya maamuzi makubwa kwenye maisha yako. Kwa sababu maamuzi yoyote yale