2488; Afya ya hisia.

By | October 23, 2021
2488; Afya ya hisia. Tumezoea afya ya akili, mwili na roho. Lakini inapokuja kwa hisia, huwa hatupendi kuziongelea. Kwa kuona hisia ni udhaifu. Lakini sisi binadamu ni viumbe wa kihisia, huwa tunafanya maamuzi yetu kwa hisia kisha kuyahalalisha kwa fikra. Hivyo kama hatutakuwa na afya nzuri ya kihisia, tutaishia kufanya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz