2509; Kwa nini hupendi unachofanya?

By | November 13, 2021
2509; Kwa nini hupendi unachofanya? Kutokupenda kazi au biashara unayofanya ni kikwazo kikubwa cha mafanikio yako. Huwezi kufanikiwa kwenye kitu ambacho hukipendi, hata kama kinalipa kiasi gani. Huenda wewe ni mmoja wa wale ambao wanafanya wasichopenda, leo nataka upate jawabu hapa ili kuchukua hatua sahihi. Mahali pa kuanzia ni kujua

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz