2515; Maswali yanayoulizwa mara kwa mara.

By | November 19, 2021
2515; Maswali yanayoulizwa mara kwa mara. Kwa shughuli yoyote unayofanya, iwe ni kazi au biashara, kuna maswali ambayo wale unaowahudumia huwa wanayauliza mara kwa mara. Kwa kiingereza huwa wanaita FAQ (Frequently Asked Questions). Haya ni maswali yanayoweza kukukera na kuona kwa nini watu hawaelewi vitu vidogo na vya kawaida kiasi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz