#SheriaYaLeo (22/366); Tumia ukinzani na magumu.

By | November 22, 2021
#SheriaYaLeo (22/366); Tumia ukinzani na magumu. Ufunguo wa mafanikio kwenye tasnia yoyote ile ni kujijengea ujuzi wa aina mbalimbali kisha kuchanganya ujuzi huo kwa namna ya kipekee. Lakini mchakato wa kufanya hivyo unaweza kuwa mgumu, wenye maumivu na kukatishwa tamaa. Maana kadiri unavyokwenda unagundua ukomo na ukosefu wa ujuzi muhimu.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz