#SheriaYaLeo (28/366); Njia haijanyooka.

By | November 28, 2021
#SheriaYaLeo (28/366); Njia haijanyooka. Wakati unaianza safari yako ya wito na kusudi la maisha yako, unachagua eneo linaloendana na yale yaliyo ndani yako. Sehemu unayoanzia inakupa nafasi ya kujifunza na kujijengea ujuzi na uzoefu muhimu. Pia inakupa nafasi ya kuingiza kipato na kujijengea kujiamini. Kadiri unavyokwenda unagundua kuna njia za

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz