#SheriaYaLeo (37/366); Jichukulie Kama Mjenzi.

By | December 7, 2021
#SheriaYaLeo (37/366); Jichukulie Kama Mjenzi. Haijalishi upo kwenye tasnia gani, unapaswa kufikiri na kujichukulia kama mjenzi. Wewe ni mjenzi unayetumia rasilimali na mawazo mbalimbali kutengeneza kitu chenye manufaa kwa wengine. Kujenga kitu chochote vizuri, iwe ni nyumba, taasisi, biashara au kazi ya sanaa, ni lazima uuelewe mchakato wa ujenzi na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz