#SheriaYaLeo (42/366); Jinsi ya kujifunza kwa kasi.

By | December 12, 2021
#SheriaYaLeo (42/366); Jinsi ya kujifunza kwa kasi. Kwa chochote unachojifunza, unajifunza kwa kasi zaidi kupitia kufanya kuliko kupitia kusoma au kusikiliza maelekezo. Mwanzo wa kufanya huwa ni mgumu, lakini kadiri unavyoendelea kufanya ndivyo inavyokuwa rahisi. Unajifunza kwa kasi na ubora zaidi kwa kufanya kile unachojifunza. Hata kama ni lugha mpya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz