2546; Kila kitu kina umuhimu.

By | December 20, 2021
2546; Kila kitu kina umuhimu. Jambo moja kuhusu maisha ni kwamba kila kitu kina umuhimu. Lakini kwa bahati mbaya sana, huwa hatuoni umuhimu wa kitu mpaka pale tunapokuwa tumeshakipoteza. Unapokuwa na kitu unakizoea na kuona ubaya au madhaifu yake kuliko manufaa yake. Ni mpaka pale unapokuwa umekipoteza ndiyo unaona jinsi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz