#SheriaYaLeo (51/366); Elewa jinsi ubongo unavyofanya kazi.

By | December 21, 2021
#SheriaYaLeo (51/366); Elewa jinsi ubongo unavyofanya kazi. Huwa tunadhani tunaweza kuruka hatua, kuepuka mchakato, kutumia kanuni rahisi au vipaji vyetu kufikia ubobezi kwa muda mfupi bila kuweka kazi. Ujio wa teknolojia umetufanya tuone kuna namna tunaweza kuukwepa mchakato mzima wa ubobezi. Kwa sababu teknolojia zimerahisisha mengi, tunadhani zinaweza pia kurahisisha

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz