#SheriaYaLeo (62/366); Ingia Ndani.

By | January 1, 2022
#SheriaYaLeo (62/366); Ingia Ndani. Safari ya ubobezi inaweza kuelezewa kwa namna moja, kuzidi kuzama ndani kwenye kile unachotaka kubobea. Wakati unapoianza safari hii unakuwa unakiona kitu kwa nje na mambo mengi huyaelewi. Lakini kadiri unavyojifunza na kufanya, unazidi kuzama ndani zaidi. Unapata uelewa wa kina kuhusu kitu hicho na kuweza

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz