#SheriaYaLeo (69/366); Kukosa uvumilivu ni adui mkubwa.

By | January 8, 2022
#SheriaYaLeo (69/366); Kukosa uvumilivu ni adui mkubwa. Kikwazo kikubwa zaidi kwenye ubunifu wako ni kukosa uvumilivu. Ile hali ya kuharakisha na kutaka kupata matokeo makubwa kwa haraka ni kikwazo kikubwa kwako kufikia ubobezi wa hali ya juu. Unapoharakisha, hupati muda wa kujifunza kwa kina na kubobea yale ya msingi kwenye

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz