#SheriaYaLeo (70/366); Maarifa ndiyo ukuu wako.

By | January 9, 2022
#SheriaYaLeo (70/366); Maarifa ndiyo ukuu wako. Maarifa kidogo ni sumu kubwa. Kwa kujua kidogo unaweza kupata kiburi na kudhani tayari unajua kila kitu. Unachopaswa kujua ni kwamba maarifa yanaendelea kubadilika kadiri muda unavyokwenda. Historia iko wazi kabisa, vitu vingi ambavyo watu waliamini ni kweli, kwa sasa vimethibitishwa siyo kweli. Maendeleo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz