#SheriaYaLeo (94/366); Jua  nani mwenye mamlaka.

By | February 2, 2022
#SheriaYaLeo (94/366); Jua nani mwenye mamlaka. Katika eneo lolote lile, iwe ni taasisi, biashara au jamii, kuna watu wachache au mmoja ambaye ndiye mwenye mamlaka makubwa. Mara nyingi mtu au watu hao siyo wale wanaoonekana kuwa viongozi, wanaweza kuwa watu wengine kabisa, ambao wanafanya mambo yao nyuma ya pazia. Unapotaka

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz