2595; Kitakachomfaa kila mtu.

By | February 7, 2022
2595; Kitakachomfaa kila mtu. Ukitaka kuwa na kitu kitakachomfaa kila mtu, utaishia kuwa na kitu kisichomfaa yeyote. Hebu fikiria kama mvua na jua vingekuwa vinawaka na kunyesha kwa kuendana na matakwa ya watu. Nakuhakikishia kusingekuwa na majira yoyote. Maana sehemu moja pangekuwa na mvua na jua kwa wakati mmoja, maana

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz