2608; Mategemeo yako kwa wengine.

By | February 20, 2022
2608; Mategemeo yako kwa wengine. Kila mmoja wetu huwa ana mategemeo fulani kwa watu wengine. Lakini sehemu kubwa ya mategemeo hayo huwa siyo sahihi. Kwa sababu hatujui kile kinachoendelea ndani ya mtu. Unaweza kuwa unategemea mtu awe kwa namna fulani yeye akawa kwa namna ya tofauti. Ukadhani labda amefanya kwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz