#UkurasaWaLeo (114/366); Waepuke wenye kisirani.

By | February 22, 2022
#UkurasaWaLeo (114/366); Waepuke wenye kisirani. Kuna watu mbalimbali ambao wamepitia magumu na kushindwa kwenye maisha. Huwa tunasukumwa kuwaonea huruma watu hao na kuchukua hatua mbalimbali kuwasaidia. Lakini siyo wote wanaofaa kusaidia. Wapo ambao magumu na kushindwa wanakopitia wanakuwa wamejitakia wenyewe. Hao ni watu wenye kisirani na mikosi ambao kwa tabia

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz