#SheriaYaLeo (115/366); Epuka muungano wa uongo.

By | February 23, 2022
#SheriaYaLeo (115/366); Epuka muungano wa uongo. Hakuna mtu anayeweza kufanikiwa peke yake kwenye maisha bila ya kuungana na wengine. Tunategemeana sana katika safari ya maisha na mafanikio. Lakini siyo kila muungano una manufaa kwako. Kuna muungano wa uongo na muungano wa kweli. Unapaswa kujua tofauti za aina hizo za muungano

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz