2617; Kwenye uzio.

By | March 1, 2022
2617; Kwenye uzio. Huingii ndani na wala hutoki nje. Hiyo ni hali ambayo wengi wamekuwa wakijikuta hasa wanapohitajika kufanya maamuzi. Na hilo ndiyo limekuwa linafanya wengi wasubiri mpaka tarehe ya mwisho (deadline) ndiyo wafanye kitu. Kukaa kwenye uzio hakujawahi kuwa na manufaa, zaidi ya kumpotezea muda. Utaona unapata muda zaidi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz