MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
2619; Siyo hawamudu, bali hawajali.
2619; Siyo hawamudu, bali hawajali. Kama unauza kitu, iwe ni bidhaa au huduma na wateja uliowapata hawapo tayari kulipia, ni rahisi kuona labda hawamudu. Utakimbilia kuona bei ndiyo kikwazo kwao, ni kubwa kwao na hivyo hawamudu. Na wanaweza kukuambia hivyo kweli. Lakini hata utakapojaribu kupunguza bei, bado hawatakuwa tayari kununua.
