#SheriaYaLeo (136/366); Zawadi za kimtego.

By | March 16, 2022
#SheriaYaLeo (136/366); Zawadi za kimtego. Watu wenye hila ya kupata kitu fulani, huwa wanapenda kuficha nia yao kwenye kitu kingine ili wasionekane waziwazi. Moja ya maeneo ambayo watu wanaotaka kujinufaisha kupitia wengine ni utoaji zawadi. Watu hao huwa wanatoa zawadi za kimtego. Wanachofanya ni kumpa mtu zawadi ndogo, halafu baadaye

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz