#SheriaYaLeo (141/366); Wajue sitaki nataka.

By | March 21, 2022
#SheriaYaLeo (141/366); Wajue sitaki nataka. Kuna watu ambao kwa nje wanajifanya kama hawakitaki kitu, ila kwa ndani wanakitaka sana. Kwa nje wanakikataa, ila ni kwa lengo la kuwafanya watu wawabembeleze ndiyo wakubali. Watu hao wanakuwa wanajua tabia ya binadamu, kwamba ukionekana unataka sana kitu, watu wanakuzuia usikipate. Au hata ukikipata

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz