2641; Dawa kuu ya hasira.

By | March 25, 2022
2641; Dawa kuu ya hasira. Ni kupuuza. Chukua mfano huu. Wewe hujui lugha ya kireno. Umekutana na mreno, Halafu akakutukana kwa kireno. Je utakasirika? Jibu ni hapana, Hutakasirika, Kwa sababu hutajua hata kama amakutumana. Kimbembe sasa ni unapokutana na mswahili mwenzako. Akakuambia wewe ni mpumbavu kabisa. Kinachotokea ni unaanza kujichaji

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz