#SheriaYaLeo (175/366); Jinsi ya kuwafanya watu wawe tayari kukusaidia.

By | April 24, 2022
#SheriaYaLeo (175/366); Jinsi ya kuwafanya watu wawe tayari kukusaidia. Kama unataka watu wakusaidie kitu fulani, usiwakumbushe jinsi ambavyo wewe umewahi kuwasaidia huko nyuma. Unaweza kudhani kwa kuwakumbusha hilo wataona wanapaswa kulipa fadhila na hivyo kusukumwa kukusaidia. Lakini siyo kinachotokea. Unapowakumbusha watu jinsi ulivyowasaidia huko nyuma unawafanya wajione hawajiwezi na wanategemea

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz