#SheriaYaLeo (176/366); Tumia maneno matupu.

By | April 25, 2022
#SheriaYaLeo (176/366); Tumia maneno matupu. Watu huwa wanapenda na hata kuelewa zaidi lugha ya picha. Hiyo ni kwa sababu inawawezesha kujenga taswira ya kitu na kukielewa vizuri. Unapotaka kuwahadaa watu, nenda kinyume na hilo. Tumia lugha ya maneno matupu ambayo hayamwezeshi mtu kujenga taswira yoyote. Lugha ya aina hiyo inamfanya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz