#SheriaYaLeo (192/366); Tengeneza habari inayosambaa.

By | May 11, 2022
#SheriaYaLeo (192/366); Tengeneza habari inayosambaa. Pale watu wanapojua kuna kitu unataka, iwe ni kura, kuuza au kukubalika, wanaleta ukinzani. Wanaibuka watu ambao watakupinga kwenye kile ambacho unakitaka. Kuepuka hilo, unapaswa kuficha nia yako nyuma ya tukio ambalo litakuwa habari inayosambaa kwa wengi. Habari hiyo inayosambaa inakamilisha nia yako bila ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz