#SheriaYaLeo (193/366); Kutoka urafiki kuwa wapenzi.

By | May 12, 2022
#SheriaYaLeo (193/366); Kutoka urafiki kuwa wapenzi. Kutoka kwenye urafiki mpaka kuwa wapenzi ni kitu kinachoweza kutokea kwa ushawishi usio wa moja kwa moja. Kwanza unaanza kwa mazungumzo ya kirafiki na yule unayemlenga. Mazungumzo hayo yanakupa fursa ya kumjua kiundani, kujua tabia zake, madhaifu yake na yale anayotaka sana. Mbili kwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz