#SheriaYaLeo (223/366); Nasa Ufahari wao.

By | June 11, 2022
#SheriaYaLeo (223/366); Nasa Ufahari wao. Kila mtu huwa ana ufahari au majigambo ndani yake. Hali ya kujiona ni muhimu kwenye hii dunia. Pale mtu anapokushambulia na hujui ni kwa nini, mara nyinyi ni kwa sababu unakuwa umetishia ufahari wao. Mara zote unapaswa kuhakikisha watu wanajisikia vizuri kuhusu wao wenyewe kwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz