#SheriaYaLeo (228/366); Tumia maigizo na siyo maneno.

By | June 16, 2022
#SheriaYaLeo (228/366); Tumia maigizo na siyo maneno. Kutumia maneno kuwashawishi watu ni jambo hatari sana. Kwani watu huishia kuelewa kinyume na kile ambacho tumemaanisha. Maneno huwa yana nafasi kubwa ya kueleweka vibaya. Lakini pia maneno huwa ni rahisi kuwaumiza watu na kuleta hali ya kutokuelewana. Lakini maigizo huwa yanaeleweka moja

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: SHERIA ZA SIKU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz